iqna

IQNA

Kadhia ya Yemen
Yemen ina uwezo mkubwa zaidi wa kukabiliana na mapigo kwa utawala wa Israel, amesema kiongozi wa Ansarullah wa Yemen huku operesheni za kulipiza kisasi za nchi hiyo ya Kiarabu zikiendelea kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479168    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22

Shambulizi la Israel dhidi ya Bandari ya al Hudaydah
Vikosi vya Jeshi la Yemen vimeapa kuendeleza operesheni zinazoiunga mkono Palestina baada ya utawala haramu wa Israel kushambulia maeneo ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3479160    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/21

Vita vya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imeripotiwa kulijulisha linalojiita baraza la uongozi wa rais wa Yemen juu ya uamuzi wa kusitisha vita haribifu nchini Yemen baada ya miaka minane ya uchokozi.
Habari ID: 3476834    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08